sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » SABABU 10 ZINAZOCHANGIA VIFO DUNIANI

Shirika la Afya Duniani (WHO) lilikusanya taarifa za sababu za 

vifo mwaka 2012 na kuzifananisha na sababu kubwa za vifo 

mwaka 2000.

Taarifa hiyo ilionesha magonjwa ya moyo yamekuwa ni sababu 

kubwa ya vifo duniani kwani vimesababisha vifo vya watu milioni 

7.4 mwaka 2012, huku magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama vile 

shambulio la moyo, saratani na kisukari yamesababishwa 68 % ya 

vifo vyote duniani mwaka 2012, kutoka 60% mwaka 2000. 


Ikilinganishwa na mwaka 2000, vifo vinavyotokana na HIV 

vimepungua kidogo, kipindupindu sio tena miongoni mwa sababu 

tano za juu zinazoongoza kwa vifo kwani imepungua kutoka vifo

 milioni 2.2 mwaka 2000 hadi milioni 1.5 mwaka 2012 . Vifo

 vinavyotokana na kifua vimepungua kutoka milioni 1.3 hadi 

milioni 1, na kifua kikuu hakipo tena kwenye top ten ya sababu za 

vifo.

Sababu  10  zinazoongoza kwa vifo duniani 


Shambulio la moyo 13.2%

Kiharusi 11.9%

Pumu 5.6%

Maambukizi ya njia ya hewa 5.5%

Saratani ya mapafu na njia ya hewa 2.9%

Virusi vya Ukimwi 2.7%

Ugonjwa wa kisukari 2.7%

Ugonjwa kuhara (Kipindupindu) 2.7%

Ajali za barabarani 2.2%

Shinikizo la damu na magonjwa ya moyo 2%


LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini





PINTEREST  TWITTER    

LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana


LINK CLASSIC


BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply