sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » RAMA DEE, MAHABA NDO YALONIFANYA NIHAMISHIE MAKAZI AUSTRALIA


Msanii wa muziki wa R&B wa Tanzania, Rama Dee amesema kilichomfanya ahamie nchini Australia kwa mke wake ni mapenzi na sio kitu kingine.

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio Ijumaa hii, Rama Dee amedai anampenda mke wake ndiyo maana akahamua kumfuata Australia.


“Unajua ni mapenzi ndio yalinifanya kuhamia nchini Australia na hakuna kingine, yaani kifupi nimeolewa kule maana kwa mira zetu sisi watanzania huku mwanamke ndiyo huwa anamfuata mwanaume nyumbani kwake sasa kama mimi nimemfuata mwanamke kwao ina maana nimeolewa kule” alisema Rama Dee.

Katika hatua nyingine Rama Dee, amesema kuwa yeye hana tofauti yoyote na Mbunge wa Mbeya mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Joseph Mbilinyi alimaarufu kama Mr 2.

“Unajua watu wanasema mengi lakini mimi na Sugu tuko poa hata jana nilikuwa nakunywa soda na yeye sehemu fulani hivi” alisema Rama Dee

Sugu na Rama Dee walidaiwa kutofautiana kutokana na harakati za vinega.

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply