sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » MBUNGE WA JIMBO LA BUNDA:ESTHER BULAYA AKAMATWA NA POLISI JIJINI MWANZA

bulaya

Mbunge wa Jimbo la Bunda Chadema, Esther.OFISA Habari wa Chadema, Tumaini Makene leo amesema mbunge wa Jimbo la Bunda Chadema, Mhe. Esther Bulaya,amekamatwa na polisi saa saba usiku na kumpeleka  kituo cha kati cha jijini Mwanza akiwa ameambatana na Mhe. Halima Mdee (Mb) , Joyce Sokombe (Mb) pamoja na Wakili John Malya sababu za kukamatwa hazijulikani.Hadi sasa anashikiliwa na polisi. Viongozi wa Chadema wanaelekea kituo cha polisi muda huu kujua hatma yake.



LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

INSTAGRAM           FACEBOOK    GOOGLE +    PINTEREST   TWITTER       

LINKEDIN     DRIBBBLE    NOTJUSTOK



Karibu sana
LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply