sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » SERIKALI YA TANZANIA NA NORWAY ZASAINI MAKUBALIANO KUWEZESHA WAHANDISI WANAWAKE WANAOHITIMU VYUO VIKUU.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wahandisi nchini Prof. Ninatubu Lema (kulia) na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway, Tone Skogen (kushoto) wakisaini Makubaliano ya Awali ya Programu ya kuwasaidia na kuwaendeleza Wahandisi wanawake walioko vyuoni yenye lengo la kuongeza idadi ya Wahandisi waliosajiliwa kwa ngazi ya Ushauri.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wahandisi nchini Prof. Ninatubu Lema (kulia) na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway, Tone Skogen (kushoto) wakibadilishana Hati za Makubaliano ya Awali ya Programu ya kuwasaidia na kuwaendeleza Wahandisi wanawake walioko vyuoni yenye lengo la kuongeza idadi ya Wahandisi waliosajiliwa kwa ngazi ya Ushauri leo jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Eng. Edwin Ngonyani akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway, Tone Skogen (Katikati) kuhusu Mafanikio wanayoyapata Wahandisi Wanawake wa Tanzania kutokana na msaada wa Mafunzo ya kuwasaidia na kuwaendeleza Wahandisi wanawake walioko vyuoni kutoka Serikali ya Norway.

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply