Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihutubia kwenye ufunguzi wa Kikao kazi cha Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini kilichofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Veta Morogoro, Nape aliwataka maafisa habari.
Meneja wa Mawasiliano wa TCRA Ndugu Innocent Mungi (kulia) akizungumzia umuhimu wa kuwezeshwa kwa vifaa na elimu inayoendana na nyakati kwenye ufunguzi wa Kikao kazi cha Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini kilichofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Veta Morogoro.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akipitia kwa umakini baadhi ya nyaraka zenye hoja za kuboresha ,kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel na kulia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Morogoro mjini Ndugu Afred Shayo wakati wa ufunguzi wa Kikao kazi cha Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini kilichofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Veta Morogoro.
Sehemu ya wadau waliohudhuria na kushiriki kwenye ufunguzi wa Kikao kazi cha Maafisa Habari na
Mawasiliano Serikalini kilichofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Veta Morogoro.
Mawasiliano Serikalini kilichofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Veta Morogoro.
Maafisa wa Habari na Mawasiliano wakimsikiliza Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi na washiriki wa Kikao kazi cha Maafisa Habari na
Mawasiliano Serikalini kilichofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Veta Morogoro.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
Karibu sana
LINK
CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA




No comments: