January akisalimia na mwenyeji wake Bwana Saidi Kiparu mala baada ya kuwasili ofisini kwake.
Akiwa Jimboni Bumbuli mheshimiwa January Makamba ametembelea Msitu wa Mazumbai ulioko Jimaboni kwake bumbuli, msitu huu umehifadhiwa na serikali chini ya chuo kikuu cha sokoine kwa ajiri ya watu kwenda kujifunza .Msitu wa mazumbai unasifa nyingi sana za kipekee kwanza ni kati ya misitu michache ambayo haijaathiriwa na shuguli za kibinadamu na hii inatokana na ulinzi na ufadhi mzuri wa chuo cha sokoine vilevile msitu huu una aina nyingi za mimea kuliko aina za mimea iliyopo Western EUROPE (Ulaya Magharibi)
Mh.January akizungumza jambo ndani ya ofisi na mwenyeji wake Bwana Saidi Kiparu ambae ni meneja wa msitu wa mazumbai
Bwana Saidi Kiparu akitoa maelezo kuhusu baadhi ya mimea ipatikanayo katika hifadhi ya msitu mazumbai.
Bwana Saidi Kiparu akitoa maelezo kuhusu baadhi ya mimea ipatikanayo katika hifadhi ya msitu mazumbai.
January akiwa mbele ya mti unao itwa ENTANDROPHRAGMA EXCELSUM mti huu niwa ajabu nawa kipekee maana mizizi yake ni mipana na inaota kwenda juu kama ukuta.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
Karibu sana
LINK
CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA


No comments: