
Akitoa maamuzi hayo ambayo yameamuliwa kwa pamoja na Madiwani wote wa Chama cha CCM na vyama vya upinzani kutokana na taarifa ya Mkaguzi wa ndani, Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Bw.Geogry Bajuta amesema Baraza limetoa mapendekezo kwa Mamlaka husika kuwa Mkurugenzi huyo asimamishwe kazi ili kupisha uchunguzi na amewataja waliosimamishwa kazi Mwekahazina Bw.Mazengo Matonya,Afisa Mipango Bw.Hamisi Katimba,Muhasibu Bi.Wellu Sambalu na Cashier Marseli Siima.
Awali Mkuu wa Wilaya ya Hanang Bw.Thobias Mwilapya amejikuta yupo katika wakati mgumu na kuamuriwa na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo pamoja na Madiwani kukaa chini wakati alipokuwa amesimama akitoa salamu za Wilaya kwa madai ya kumpendelea mkurugunzi Bw.felix Mabula,hatimaye Mkuu wa Wilaya aliamua kutoka nje ya ukumbi.
Kwa upande wao Madiwani wa Hanang wameshangazwa na Mkuu wa Wilaya ya Hanang kwa kuonyesha waziwazi kumkumbatia Mkurugenzi kwa madai ya kuwa kikao hicho siyo halali
LINK
CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja
ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL
zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau
kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: