sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » MICHEZO MIWILI YA FA YAAHIRISHWA KISA LESENI ZA WACHEZAJI



Michezo miwili ya kombe la Azam Sports Federation Cup (FA Cup) imeshindwa kuchezwa jijini Dar es Salaam kwa sababu ya wachezaji kukosa leseni za kufanyia kazi hivyo mechi hizo zimeahirishwa hadi TFF itakapotoa mwongozo juu ya suala hilo.


Mchezo wa Abajalo vs Tanzania Prisons (uwanja wa Uhuru) umeshindwa kuchezwa baada ya wachezaji zaidi ya watano wa Abajalo kugundulika kuwa hawana leseni za kuwaruhusu kucheza mashindano.

Mchezo mwingine ambao haujachezwa kwa sababu ya wachezaji kukosa lesini ni kati ya Mvuvumwa dhidi ya JKT Ruvu (uwanja wa Azam Complex).

Katibu mkuu wa Tanzania Prisons Havinitishi Abdallah amethibitisha kwamba mchezo huo haujachezwa na wao wanasubiri kusikia TFF inasemaje kwa kile ambacho kimetokea kwenye mchezo wao dhidi ya Abajalo.

“Hatujacheza kwa sababu wachezaji kama saba wa Abajalo hawakuwa na leseni, tunasubiri kusikia kutoka TFF kwa sababu wao ndio wanazitoa, baada ya hapo ndio tutajua tuseme nini lakini kwa sasa hatuwezi kuongea chochote.”



KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply