Mapacha wa Nigeria pichani ambao walizaliwa wameungana wamefanyiwa upasuaji nchini India na jopo la madaktari 22. Kwa mujibu wa madaktari hao kwasasa mapacha hao kila mmoja anaweza kuishi kivyake bila tatizo lolote baada ya upasuaji huo wa kuwatengenisha kuwa na mafanikio.
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: