sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » SAMATTA ANAZIDI KUWANYOOSHA ULAYA


UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI
Jana usiku KRC Genk ikiwa ugenini ilishuka dimbani ikikaribishwa na Gent zote za nchini Ubelgiji katika mchezo wa Europa League hatua ya 16 bora.
Mchezo huu ulipigwa katika dimba la Ghelamco lenye uwezo wa wa kuingiza watu 17,000 ambapo ndani ya dakika 90 Genk iliisambaratisha Gent kwa jumla ya magoli 5-2 na kujiweka katika mazingira mazuri ya kufuzu hatua inayofuata.
Katika mchezo huo, mshambuliaji wa kimataifa toka nchini Tanzania anayekipiga katika klabu ya Genk, Mbwana Samatta alifanikiwa kupachika kimiani magoli mawili.
Goli la kwanza la Samatta alilifunga dakika ya 41 baada ya kupokea pasi kutoka kwa J. Boetius huku goli la pili likifungwa dakika ya 72 baada ya kupokea mpira toka kwa Thomas Buffel.
Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana


Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply