sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » TANESCO YATAKIWA KUMALIZA MGAWO WA UMEME


UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA

SERIKALI kupitia Wizara ya Nishati na Madini inatarajia kuboresha uzalishaji wa umeme nchini na hivyo kuondoa kabisa mgawo wa umeme nchini.

Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo anayeshughulikia Nishati, Dk Juliana Pallangyo alipotembelea banda la Wizara ya Nishati na Madini katika Maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere, barabara ya Kilwa.

Alisema kwa kutambua umuhimu wa nishati ya umeme, serikali imeweka mikakati mbalimbali ikiwamo kuwakaribisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza kwenye sekta hiyo na ili kuchochea uanzishwaji wa viwanda vitakavyochangia ukuaji wa uchumi nchini.

Akielezea mikakati ya serikali katika uboreshaji wa huduma ya umeme nchini, Dk Pallangyo alisema kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Awamu ya Tatu, serikali itaendelea kusambaza umeme vijijini ikitoa kipaumbele kwa vijiji ambayo havikuwepo kwenye REA Awamu ya Pili.

Alisema uwepo umeme wa uhakika vijijini utachochea uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo, uboreshaji wa huduma za jamii na hivyo kupunguza wimbi la vijana kukimbilia mijini kutafuta ajira.


Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana
+255 (0) 652989873 – Whatsapp / Call

Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply