sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » WAZIRI MAGHEMBE AUMBULIWA NA KAMPUNI YA UTALII

UNGANA NA 
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA

KAMPUNI ya Wengert Windrose Safaris (Tanzania) Limited (WWS), imesema kauli iliyotolewa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe kwamba Mahakama Kuu ilitoa amri kwa waziri ikimtaka kuirudishia Green Miles Safari Co. Limited (GML) kibali cha uwindaji na kitalu ambacho kinaendeshwa na WWS sio za kweli.

Taarifa ya WWS iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari ilifafanua kuwa hakuna uamuzi wowote uliotolewa na Mahakama ukitamka au kuamua kwamba GML ndio mmiliki halali wa kitalu cha uwindaji ambacho sasa kinaendeshwa na WWS.

Waziri Maghembe alitoa kauli hiyo wiki iliyopita wakati anajibu hoja za wabunge bungeni. Kampuni hiyo pia ilisema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari kuwa Mahakama haikuwahi kuamuru Wizara ya Maliasili na Utalii kuirudishia GML leseni ya uwindaji na vitalu vya uwindaji vilivyonyang’anywa kutokana na maofisa wake kudaiwa kushiriki uwindaji haramu katika pori la uwindaji la Selous.

Taarifa hiyo ilifafanua kwamba ukweli kuhusu jambo hilo ni kwamba Agosti 28, WWS ndio ilifungua shauri la madai Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara dhidi ya Wizara ya Maliasili na Utalii, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na GML.

Ilieleza kuwa katika shauri hilo WWS ilikuwa ikipinga uamuzi wa waziri kubadilisha jina la kitalu kinachoendeshwa na WWS ili kutoa mwanya wa kitalu hicho kupewa GML. “Walalamikiwa wote hao hawakuwasilisha utetezi wao mahakamani.

Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana
+255 (0) 652989873 – Whatsapp / Call

Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply