sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » KUANZIA WIKI KESHO TATIZO LA SUKARI KUBAKI HISTORIA


UNGANA NA 
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda amesema kuanzia wiki ijayo tatizo la sukari litakuwa historia, kwani viwanda vya sukari vya ndani vinaanza uzalishaji.

Ntibenda alisema hayo jijini hapa wakati akikabidhi mradi wa ufugaji kuku wa kienyeji na mbuzi wa maziwa katika Kata ya Muriet eneo la Kwamrombo, unaoendeshwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).

“Hivi sasa wananchi mnauziwa sukari kilo moja kwa shilingi 2,500 hadi Sh 3,500 kwa kilo moja, lakini sasa tunasema sukari itapatikana kuanzia wiki ijayo na wanaofunga Ramadhan wasiwe na shaka, watapata sukari,” alisema.

Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro alisema anaungana na serikali kuhakikisha maendeleo ya jiji la Arusha yanapatikana, ikiwemo ukusanyaji wa kodi za majengo.

Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana
 +255 (0) 652989873 – Whatsapp / Call

Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply