UNGANA NA
LINK CLASSIC
KATIKA KIPENGELE CHA
HOT NEWZ
Ikiwa ni siku ya nne tangu mabasi yaendayo haraka yaanze kutoa huduma bure jijini Dar es Salaam wananchi wameonekana kupata uelewa juu huduma hiyo ikiwemo namna ya kuingia katika vituo vya kusubiria usafiri huo pamoja na matumizi ya kadi na risiti mahali zinapo patikana.
Akitoa elimu kwa wananchi Salim Chuma amesema kadi hiyo itatumiwa na mwenye kadi tu na si mtu mwingine hivyo ametoa onyo kwa mtu yoyote kuiba ama kutumia kadi isiyokuwa yake kuwa ataibainika na mashine zinazotambua kadi hizo wakati wa kuingia na kutoka katika kituo ambapo ina milio mitatu ikiwemo mlio unaonyesha salio, hamna salio na kadi sio yako.
Abiria wanaotumia usafiri huo wamesema kwa sasa wameanza kuelewa namna mabasi hayo yanavyofanya kazi ikiwemo baadhi ya mabasi kutosimama vituo vyote ingawa wameomba elimu zaidi iendelee kutolewa.
Mabasi yameguka kilio kwa makondakta wa daladala wanaotumia barabara ya morogoro ambao wanadai kuwa kwa sasa biashara imekuwa ngumu.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
+255
(0) 652989873 whatsapp
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: