sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » SERIKALI YATENGA BAJETI YA BILIONI 251 KWA AJILI YA DAWA


Ungana na LINK CLASSIC katika kipengele cha 

HOT NEWZ
                                                               
topic ni 

SERIKALI YATENGA BAJETI YA BILIONI 251 KWA AJILI YA DAWA

SERIKALI ya Rais John Magufuli imeongeza bajeti yake ya kununua dawa kutoka Sh bilioni 41 kwa mwaka 2014/15 hadi Sh bilioni 251 mwaka huu.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema lengo la hatua hiyo ni kudhibiti uhaba wa dawa nchini.


Alisema hayo wilayani Kahama mkoani Shinyanga , alipoelezea upatikanaji wa dawa nchini baada ya kuzindua kampeni ya kitaifa ya kupima Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwa wasichana.

Uzinduzi huo ulifanyika viwanja vya Shule ya Msingi Kakola wilayani hapa. Ummy alisema Serikali ya Awamu ya Tano, itahakikisha hakuna mgonjwa atakayekufa kwa kukosa dawa, kwani katika bajeti ya mwaka huu imetenga fedha za kutosha kwa ajili ya kununua dawa.

“Bajeti ya dawa imeongezeka kutoka shilingi bilioni 41 hadi kufikia shilingi bilioni 251 hii inadhihirisha kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imejipanga vyema kuwahudumia wananchi wake, ama hakika Hapa ni Kazi tu,” alisema.

Aliwahakikishia vijana wa kike waliojitokeza kwa wingi kupima afya zao kuwa hakuna atakayekosa dawa baada ya kugundulika ameathirika na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi.

LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

+255 (0) 652989873 whatsapp



TWITTER    

LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana
LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply