Ungana na
LINK CLASSIC
katika kipengele cha
HOT NEWZ
topic ni
MKUU MPYA WA WILAYA YA KINONDONI AOMBA PESA ZA SHEREHE YA KUMPONGEZA ZICHANGIE MADAWATI
MKUU MPYA WA WILAYA YA KINONDONI AOMBA PESA ZA SHEREHE YA KUMPONGEZA ZICHANGIE MADAWATI
Mkuu wa Wilaya Mteule wa Kinondoni amekuwa na kikao na Mkurugenzi Mkuu wa Clouds Media Group Bw. Ruge Mutahaba.
Pia Alipewa nafasi ya kusalimia kwenye kikao cha Management ya Clouds.
Kikubwa Zaidi DC wa Kinondoni Ameandaliwa Sherehe ya kupongezwa na Akakataa Sherehe hiyo na kuwaomba Garama hizo za Sherehe kwa maana ya Chakula na Vinywaji Wachangie Madawani kwa wilaya ya Kinondoni.
Kisha alipata wasaa wakuzungumza ktk Kipindi cha Leo Tena.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
+255
(0) 652989873 whatsapp
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: