sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » MISEMO 6 INAYOKWAMISHA NDOTO NA MAFANIKIO YAKO.

Ungana na LINK CLASSIC katika kipengele cha 

KUHUSU MAISHA

Topic ni:-

MISEMO 6 INAYOKWAMISHA NDOTO NA MAFANIKIO YAKO.

Kumekuwa na misemo mingi mitaani ambayo kwa namna moja au 
nyingine inaathiri au inaua kabisa ndoto za watu wengi. Watu wamekuwa wakiiga vitu katika jamii bila hata kuuliza kwa nini mtu huyu anafanya hivi. 

Kuiga mitindo ya kimaisha nalo limekuwa ni jambo ambalo linawaathiri watu wengi sana. Kuishi nje ya malengo uliyojiwekea na kukata tamaa ya maisha limekuwa tatizo sana. Kuishi maisha ambayo hayana furaha, upendo, amani ni tatizo miongoni mwa 
watu wengi.


1. Kila Kukicha Afadhali Ya Jana.
2. Bado Nipo Nipo Kwanza.
3. Fedha Ni Shetani
4. Tumia Pesa Ikuzoee/Ukipata Tumia Ukikosa Jutia.
5. Aliyekupa Wewe Ndiye Aliyeninyima Mimi.
6. Sina bahati. 

Kwa hiyo, watu wanatakiwa kuacha kuzitumia kauli hizi na 
kubadili mtazamo wa fikra, mambo ya kuamini mafanikio ni kwa watu waliosoma tu, au watu wa ukoo Fulani au kabila Fulani ndio wana haki ya kufanikiwa siyo kweli. 


Hakuna mafanikio ya haraka, usidharau biashara ndogo na usijidharau wewe mwenyewe bali jiamini katika kuwa mshindi na siyo mshindwa.

LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

+255 (0) 652989873 whatsapp



TWITTER    

LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana
LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply