Ungana na LINK CLASSIC katika kipengele cha
KUHUSU MAISHA
Topic ni:-
MISEMO 6 INAYOKWAMISHA NDOTO NA MAFANIKIO YAKO.
Kumekuwa na misemo mingi mitaani ambayo kwa namna moja au
nyingine inaathiri au inaua kabisa ndoto za watu wengi. Watu wamekuwa wakiiga vitu katika jamii bila hata kuuliza kwa nini mtu huyu anafanya hivi.
nyingine inaathiri au inaua kabisa ndoto za watu wengi. Watu wamekuwa wakiiga vitu katika jamii bila hata kuuliza kwa nini mtu huyu anafanya hivi.
watu wengi.
1. Kila Kukicha Afadhali Ya Jana.
2. Bado Nipo Nipo Kwanza.
3. Fedha Ni Shetani
4. Tumia Pesa Ikuzoee/Ukipata Tumia Ukikosa Jutia.
5. Aliyekupa Wewe Ndiye Aliyeninyima Mimi.
6. Sina bahati.
2. Bado Nipo Nipo Kwanza.
3. Fedha Ni Shetani
4. Tumia Pesa Ikuzoee/Ukipata Tumia Ukikosa Jutia.
5. Aliyekupa Wewe Ndiye Aliyeninyima Mimi.
6. Sina bahati.
kubadili mtazamo wa fikra, mambo ya kuamini mafanikio ni kwa watu waliosoma tu, au watu wa ukoo Fulani au kabila Fulani ndio wana haki ya kufanikiwa siyo kweli.
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
+255
(0) 652989873 whatsapp
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA


No comments: