sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » SAA CHACHE KABLA YA UCHAGUZI ZNZ,JAJI LUBUVA ATOA WOSIA HUU


Mwenyekiti wa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania Jaji Damian Lubuva amewataka wananchi wa Zanzibar kutembea kifua mbele na kwenda kutimiza haki yao ya kikatiba kupiga kura hapo kesho kwa ajili ya kupata viongozi wa kuwaongoza

Jaji Lubuva ameyasema hayo baada ya kuwepo kwa woga miongoni mwa baadhi ya wananchi kwa kuwepo kwa vikosi vya ulinzi na usalama katika maeneo mengi jambo ambalo baadhi ya wananchi wamekuwa wakihoji juu ya kuwepo kwa nguvu kubwa kiasi hicho.

”Usalama upo wa kutosha na suala la kuwepo kwa wanajeshi Zanzibar sii suala geni katika mambo ya uchaguzi wa mataifa mbalimbali lengo ni kulinda amani na usalama wa wananchi hivyo wananchi wasitilie shaka wajitokeze bila uoga”-Amesema Jaji Lubuva.

Uchaguzi wa marudio Zanzibar unarudiwa kesho tarehe 20.03.2016 baada ya uchaguzi wa awali wa tarehe 25.10.2015 kufutwa na tume ya uchaguzi Zanzibar kupitia kwa Mwenyekiti wa Tume hiyo Jecha Salum Jecha kwa vigezo kadhaa kikiwepo cha upinzani kujitangazia ushindi mapema kinyume na sheria.

LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

INSTAGRAM           FACEBOOK    GOOGLE+    

PINTEREST   TWITTER    LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana


LINK CLASSIC



 

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply