sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » RAIS MAGUFULI AWAAPISHA WAKUU WAPYA WA MIKOA LEO SOMA ALICHOSEMA LIVE BILA KUZUNGUKA MBUYU!!

Some points kutoka kwenye speech ya Mhe Rais leo wakati akiapisha wakuu wa mikoa, Kamishna wa TRA na Mkurugenzi wa Takukuru, Ikulu Dar Es Salaam.


Katika utafiti mdogo uliofanywa na Mhe JPM kwenye Halmashauri 14 katika mikoa miwili ya Singida na Dodoma, ilibainika kwamba, wafanyakazi;
3320 hawakuwepo kazini

202 wanalipwa mishahara hewa
6 wali acha kazi lakini wanalipwa mishahara 
27 walifungwa gerezani lkn wanalipwa mishahara
108 Wastaafu lakini wanalipwa mishahara

NUKUU

"** "Haiwezekani vijana wanacheza 'pool' asubuhi saa 2, halafu wazee na wamama ndio wapo mashambani, Nataka Watanzania wakafanye kazi, akishindwa kufanya kazi yeye basi akafanye kwa lazima: akishindwa kamata pelekeni ktk makambi wakafanye kazi kwa lazima"
**Mkurugenzi wa Halmashauri yoyote atakaelipa mishahara hewa kwa mwezi wa tatu mwaka huu atakuwa kajifuta kazi yeye mwenyewe na atafikishwa mahakamani.
**Wakuu wa mikoa mlioapishwa leo muende mkafanye kazi na sio kwenda kutangaza siasa"

By Dr John Pombe Magufuli
( 15 March 2016)

LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

INSTAGRAM           FACEBOOK    GOOGLE+    PINTEREST   

TWITTER       LINKEDIN     DRIBBBLE   NOTJUSTOK



Karibu sana
LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply