Katika utafiti mdogo uliofanywa na Mhe JPM kwenye Halmashauri 14 katika mikoa miwili ya Singida na Dodoma, ilibainika kwamba, wafanyakazi;
3320 hawakuwepo kazini
202 wanalipwa mishahara hewa
6 wali acha kazi lakini wanalipwa mishahara
27 walifungwa gerezani lkn wanalipwa mishahara
108 Wastaafu lakini wanalipwa mishahara
NUKUU
"** "Haiwezekani vijana wanacheza 'pool' asubuhi saa 2, halafu wazee na wamama ndio wapo mashambani, Nataka Watanzania wakafanye kazi, akishindwa kufanya kazi yeye basi akafanye kwa lazima: akishindwa kamata pelekeni ktk makambi wakafanye kazi kwa lazima"
**Mkurugenzi wa Halmashauri yoyote atakaelipa mishahara hewa kwa mwezi wa tatu mwaka huu atakuwa kajifuta kazi yeye mwenyewe na atafikishwa mahakamani.
**Wakuu wa mikoa mlioapishwa leo muende mkafanye kazi na sio kwenda kutangaza siasa"
By Dr John Pombe Magufuli
( 15 March 2016)
6 wali acha kazi lakini wanalipwa mishahara
27 walifungwa gerezani lkn wanalipwa mishahara
108 Wastaafu lakini wanalipwa mishahara
NUKUU
"** "Haiwezekani vijana wanacheza 'pool' asubuhi saa 2, halafu wazee na wamama ndio wapo mashambani, Nataka Watanzania wakafanye kazi, akishindwa kufanya kazi yeye basi akafanye kwa lazima: akishindwa kamata pelekeni ktk makambi wakafanye kazi kwa lazima"
**Mkurugenzi wa Halmashauri yoyote atakaelipa mishahara hewa kwa mwezi wa tatu mwaka huu atakuwa kajifuta kazi yeye mwenyewe na atafikishwa mahakamani.
**Wakuu wa mikoa mlioapishwa leo muende mkafanye kazi na sio kwenda kutangaza siasa"
By Dr John Pombe Magufuli
( 15 March 2016)
LINK CLASSIC: Asante sana kwa
kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia
endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya
Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea
website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
Karibu sana
LINK
CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA


No comments: