Leo March 12 Clouds Media Group Wamefanya Sherehe ya kukabidhi Tuzo kwa Malkia wa nguvu,ambaye ni mwanamke aliyetumia fursa zinazomzunguka na kupiga hatua ikiwa ni pamoja kusaidia jamii.
Sherehe hizo za kuhitimisha kampeni hiyo zimefanyika kwenye Ukumbi wa LAPF Kijitonyama Jijini Dar es salaam ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Spika mstaafu wa Bunge la kumi Mh. Anna Makinda akisindikizwa na mkuu wa Wilaya ya kinondoni Paul Makonda.
Pia ziliambatana na wazungumzaji mbalimbali akiwemo Nikki wa Pili kutoka Weusi na Wengine wengi.
Pia Mkurugenzi wa vipindi na uzaishaji Clouds Media Ruge Mutahaba naye alikuwepo kuhakikisha anazielezea fursa hizo kwa kina zaidi.
Wafuatao ndio washindi 15 waliotwaa tuzo za #MALKIA WA NGUVU
LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu
mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna
vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa
na marafiki zako kutembelea website hii
pia waweza tupia namba yako
ukawa unapata habari kupitia simu yako bureeeeeeee...ila simu iwe smartphone
Pia waweza kuwasilina nasi
au kutufollow hapa chini
Whatsapp / Call - 0652 989 873
Karibu sana
LINK CLASSIC
Whatsapp / Call - 0652 989 873
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: