
Kuelekea uchaguzi mkuu wa marudio Zanzibar chama cha upinzani cha CUF ambacho kimetangaza kutoshiriki uchaguzi huo kimevisihi vyombo vya ulinzi na usalama kusimamia amani kwa sheria na katiba ili kunusuru wakimbizi wa siasa kutokana na hofu kubwa iliyotanda kisiwani pemba ambapo baadhi ya watu wako Mafichoni.
Msimamo huo umetolewa na kaimu mkurugenzi wa habari,ueneiz na mawasilaino kwa Umma Bw.Hamad Masoud wakti akiongea na wandishi wa habari ambapo amesemea hali kiswani Pemba sasa si shwari huku wanchi wakinyimwa fursa zao za haki za binaadamu ambapo hivi sasa watu hawaruhusiwi kuwepo mitaani ikifika saa mbili usiku na baadhi ya watu wamekimbia makazi yao.
Aidha chama hicho kimevisihi vyombo vya ulinzi na usalama kuacha kuegemea upande mmoja na kutekeleza wajibu wao kwa misingi ya sheria na katiba huku chama hicho kikishtushwa na ujio na uingwizaji mkubwa wa askari na magari na zana nzito za kivita hivyo CUF imetaka amani isimamaiwe kwa wote.
Kukiwa kumebakia siku sita kufanyika uchaguzi huo wa machi 20 kwa upande wa unguja hali ianendelea kuwa shwari na wanachi kuendelea na shugulki zao kama akwaida huku mazungumzo makubwa ya mitaa mbali mbali na suala la uchaguzi huo wa jumapili.
LINK CLASSIC: Asante
sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki
sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi
ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako
kutembelea website hii
pia waweza tupia namba yako ukawa unapata habari kupitia simu yako
bureeeeeeee...ila simu iwe smartphone
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
Whatsapp / Call - 0652 989 873
Karibu
sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA


No comments: