sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » BRAZIL YAWAPIGA UJERUMANI BAO 0-1, BAADA YA ZILE 7-1 ZA KOMBE LA DUNIA

Wachezaji wa Brazil wakishangilia kwa pamoja.
TIMU ya Brazil usiku wa kuamkia leo wameshinda dhidi ya wenyeji wake Ujerumani waliokuwa nyumbani katika mechi ya kirafiki ya Kalenda ya Fifa bao 1-0. Gabriel Jesus ndiye aliyefunga bao hilo.
 
Gabriel Jesus akishangilia baada ya kufunga bao.
Inakuwa ni furaha kubwa kwa Brazil ambayo iliingia uwanjani na kumbukumbu ya kipigo cha mwisho cha mabao 7-1 dhidi ya Ujerumani mara ya mwisho katika Kombe la Dunia.


Germany (4-2-3-1): Trapp; Kimmich; Boateng (Sule 67); Rudiger; Plattenhardt; Gundogan (Werner 80); Kroos; Goretzka (Brandt 61); Draxler; Sane (Stindl 61); Gomez (Wagner 62)
Brazil (4-3-3): Alisson; Alves; Silva; Miranda; Marcelo; Fernandinho; Casemiro; Paulinho; Willian; Jesus; Coutinho (Costa 72)
Scorers: Jesus 37



KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply