headlines

    11

sponsor

Slider

  1. 1
  2. 2
  3. 3
  4. 4

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » VIRGIL VAN DIJK AANZA 'KULIPA' MAMILIONI YA LIVERPOOL ...aitupa Everton nje FA Cup
LINK CLASSIC


Beki ghali zaidi duniani Virgil van Dijk ameanza kuonyesha thamani yake baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi katika mchezo wake wa kwanza.

Mechi hiyo ya kombe la FA iliyoikutanisha Liverpool na Everton, iliisha kwa matokeo ya bao 2-1 ambapo Van Dijk aliisongesha mbele timu yake baada ya kufunga kwa kichwa akiunganisha kona ya  Alex Oxlade-Chamberlain dakika tano kabla mpira haujamalizika.

Beki huyo wa Kiholanzi aliyesajiliwa kwa pauni milioni 75 kutoka Southampton, alicheza kwa kujiamini huku akionyesha kutobabaika na presha ya mechi hiyo ya watani wa jadi.

Liverpool walikuwa wa kwanza kupata bao la kuongoza kupitia penalti iliyopigwa na James Milner kunako dakika ya 35 kabla Everton hawajasawazisha dakika ya 67 mfungaji akiwa Gylfi Sigurdsson.

jiunge na group la whatsapp  kupata habari haraka bofya hapa

https://chat.whatsapp.com/4kY5fx3UtyA3xYw5uk3NvF

KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Pages 17123456 »

No comments:

Leave a Reply