sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » SYDNEY VAN KHANGA - BONGO MOVIES TUACHE MANENO NA KIKI TUJITATHIMINI


mtayarishaji na muongozaji wa filamu nchini aliyejipatia umaarufu kupitia filamu za OXYGEN ,AREA 51, THE HARD WAY nk ametoa ushauri kwa wasanii wenzie wa BONGO MOVIES kuacha kutafuta kiki na kutafutana uchawi kwamba nani kaua tasnia ama nani kachangia kudorora kwa sanaa ya maigizo nchini ,na kujitathmini wapi wamekosea na wapi walipatia na kuboresha upya ili kukonga nyoyo za mashabili waliopoteza imani na kazi zao 
akiongea na LINK CLASSIC  sydney alisema  ,unajua kaka sisi tunaongea sana ilhali ukiangalia teknolojia imekua ,nasi tunatakiwa kukua nayo kwa kufanya kazi nzuri zenye viwango ,kiukweli ,mimi pia ni mmoja wa waliokuwa wakibanwa na mfumo wa ufanyaji kazi uliokuwa ukifanyika  kibongobongo siwezi sema sana ila wadau wa sanaa wanajua nini namaanisha ,so sio poa kulaumu hili au lile ,mashabiki wetu wanahitaji  kuona kazi nzuri sio malalamiko yetu, tizama mfano bongo flava kipindi wanauza albamu kwa mdosi ,na kisha soko lao kugoma walijitathimini kisha wakaanza mfumo mpya ngoma moja kali ,video kali promotion kubwa matokeo yake tunawaona kina kiba na kina Diamond walipo leo so nasi tukijitathmini na kujipanga upya si ujinga ni mtazamo wangu tu ila sio sheria au sio mimi ndio bora sana kuliko wenzangu , alimaliza hivyo 

KWA HABARI ZAIDI

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply