sponsor

Slider

T - SHIRT PRINTING


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » JE UNAKIBAMIA SOMA HAPA


UNGANA NA
LINK CLASSIC
KILA SIKU KWA HABARI MPYA
Asante sana kuchukua muda wako kutembelea kijiwe chetu cha mahaba. Dr kilele hapa nakusalimu katika jina la maraha yatokanayo na kuunganisha viungo vya uzazi. Naamini unaendelea vyema, kama kama upo vibaya basi nakupa pole na kukutakia yote kheri.
Tuje kwenye story ya leo sasa, hii topic hii…hiii ya vibamia na mitalimbo kama miguu ya watoto  ni hot sana siku hizi. Kama huniamini angalia idadi ya waganga wa kienyeji na dawa zao za kuongeza maumbile walivyozagaa kila kona, kila mahali utasema vocha zilizotumika.
Kiufupi ni hivi…kitaa inaonekana kama maninja wenye vibamia wamekuwa wengi kipindi hiki. Au pengine toka zamani, sema siku hizi tuna vijiwe vya kidijitali, mafesibuku mainstagramu na mawasapu grupu ndio sababu story zinakuwa nyingi. Lakini je ukweli ni upi? Je ni kweli vibamia vimepata mbolea vimezaliana kwa wingi mtaani?
Kitaalamu hii ishu sio kubwa kama inavyodhaniwa. Wengi wa wanaume wana maumbile ya kutosha tu, sema tatizo ni la kiakili kabisa. Mara nyingi tunatembelea zile website zileeeee, zile video zetu tunazoangalia huku tume MUTE VOLUME au sauti ya chini kabisa.
Sasa ukitazama kule unaona mitalimbo ya haja, vitu vina mishipa kama kona za mto Ruaha hivi…kitu kimeshiba hatari. Ukija kuchungulia kwenye kaboxer kako…dah lazima uogope na hapo ndio mawazo ya mie kibamia yanapoanzia. Na hili ni kwa pande zote mbili, bi shost nae akiona zile mambo kule akija kucheki kwako…anaona kama kaupele tu.
Jambo ambalo unasahau ni kuwa, wa kule kwenye mavideo ya utamu sio wa kawaida…wanachaguliwa wenye vyuma haswaaa ili wavutiwe, huoni hata movie za kawaida? Jiulize mtaani kuna kina Arnold Schwarzenegger wangapi umeshakutana nao?…lazima waweke watu wa kipekee ili uangalie. Sasa ndugu yangu ukijifananisha urefu na Hashim Thabit au mcheza basketball mwingine lazima we uonekane mfupi, na kusahau kuwa wao ndio warefu kupindukia.
Kwa hiyo basi, usijipe mawazo sana ya sijui oh kibamia, au usimtupie lawama mwenzio kuwa kisima…enh maana pia kuna malalamiko mengine nilitaka kusahau. Kuna wanaosema hapana sio vibamia vimeongezeka, ila visima na mabwawa yamekua mengi…kinu kikiwa kipana…mtwangio lazima upwaye.
Kwa kumalizia ningependa kupata mchango wako kwenye comment hapo chini? Je unadhani kweli vibamia vimeongeza? Na kama kweli mtu ana kibamia nini kifanyike iwe kitumike kumfikisha Kileleland? Tunong’onezane hapo kwenye comment basi.
Asante sana kwa kutembelea Website hii Mungu akubariki sana
+255 (0) 652989873 – Whatsapp / Call

Karibuni sana
LINK CLASSIC

LIKE PAGE ZETU 



"KWA HABARI ZAIDI "

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply