sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » NGOJA-NIKUJUZE: WATU WENYE VINYWELEO VINGI MWILINI WAWEZA KUWA NA AKILI NYINGI? (SOMA HAPA)


Dr. Aikarakudy Alias ambaye ni daktari wa magonjwa ya akili, ambaye amekuwa akichunguza kwa miaka 22 uhusiano kati ya vinyweleo katika mwili na uwezo wa akili, aliwaambia wanachama wa chama cha European Psychiatrists katika mkutano wao kuwa, vinyweleo vingi hupatikana kwa wingi hasa kwa madaktari na watu wengine waliosoma sana katika jamii kwa ujumla.

Uchunguzi wake ulifanywa miongoni mwa wanafunzi wanaosoma udaktari nchini Marekani na aligundua kuwa asilimia 45 ya wanafunzi walikuwa na vinyweleo hasa katika vifua vyao Ukilinganisha na asilimia 10 ya watu wenye elimu ya kawaida ambao hawakuwa navyo au walikuwa navyo kwa uchache.

Katika mji wa Kerala, kusini mwa India, uchunguzi miongoni mwa wanafunzi wa udaktari na uhandisi ulionesha kuwa makundi yote wana vinyweleo vingi ukilinganisha na wale wanafanya kozi za kawaida.

Pia matokeo yalipotoka yalionesha kuwa wanafunzi nane wa kwanza walikuwa na i kwaniviyweleo vingi kuliko wanafunzi nane wa mwisho.

Alihitimisha kuwa wanaume wenye vinyweleo vingi huwa na akili nyingi ingawa pia wapo wasio na vinyweleo vingi wenye akili nyingi kwani hata Albert Einstein hakuwa na vinyweleo.



LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini





TWITTER    

LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana



LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply