sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » HIZI NDIZO SABABU 5 ZA MIKWARUZO KATIKA MAISHA.


Hizi nisababu chache tu za migongano ya kila siku.

1 Kutaka kulinganisha au kufikiri kuwa mwanaume nisawa na Mwanamke kwa kuwaza na kutenda. 

2. Kufikiri kuwa kwa kua umeingia ndani ya ndoa basi kazi imekwisha, ukaamua kujibweteka.

3 . Kufikiri kwamba kwa kuwa mmeshapata watoto sasa ufatiliaji wa maendeleo yao yakielimu au kitabia nikazi ya mwanamke. 


4. Kufikiri kuwa hisia za mama yako mzazi zinatofautiana na mwanamke ulie muoa, nakusahau kuwa hao wote ni wanawake kihisia.

5. Kufikiri kwa-kuwa Mwenyezi Mungu alitukirimu neema, basi hata tusipo jishughulisha, neema ipo na ita jishugulisha yenyewe kwetu.


LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii

Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

Whatsapp +255 652 989 873



PINTEREST  TWITTER    

LINKEDIN     DRIBBBLE

Karibu sana


LINK CLASSIC

BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply