Hizi nisababu chache tu za migongano ya kila siku.
1 Kutaka kulinganisha au kufikiri kuwa mwanaume nisawa na Mwanamke kwa kuwaza na kutenda.
2. Kufikiri kuwa kwa kua umeingia ndani ya ndoa basi kazi imekwisha, ukaamua kujibweteka.
3 . Kufikiri kwamba kwa kuwa mmeshapata watoto sasa ufatiliaji wa maendeleo yao yakielimu au kitabia nikazi ya mwanamke.
4. Kufikiri kuwa hisia za mama yako mzazi zinatofautiana na mwanamke ulie muoa, nakusahau kuwa hao wote ni wanawake kihisia.
5. Kufikiri kwa-kuwa Mwenyezi Mungu alitukirimu neema, basi hata tusipo jishughulisha, neema ipo na ita jishugulisha yenyewe kwetu.
LINK
CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz
ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua
LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau
kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii
Pia
waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
Whatsapp
+255 652 989 873
Karibu
sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: