
Uteuzi huo umetangazwa na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Mussa Ibrahim Iyombe leo tarehe 13 March, 2016 Ikulu Jijini Dar es salaam, wakuu wa Mikoa walioteuliwa ni kama ifuatavyo
Paul Makonda – Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.
Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Elias Kyunga – Mkuu wa Mkoa wa Geita.
Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu – Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Meja Jenerali Mstaafu Raphael Muhuga – Mkuu wa Mkoa wa Katavi.
Brigedia Jeneral Mstaafu Emmanuel Maganga – Mkuu wa Mkoa wa Kigoma.
Godfrey Zambi – Mkuu wa Mkoa wa Lindi.
Steven Kebwe – Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.
Kamishna Mstaafu wa Polisi Zelote Steven – Mkuu wa Mkoa wa Rukwa.
Anna Malecela Kilango – Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.
Mhandisi Methew Mtigumwe – Mkuu wa Mkoa wa Singida.
Antony Mataka – Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.
Aggrey Mwanri – Mkuu wa Mkoa wa Tabora.
Martine Shigela – Mkuu wa Mkoa wa Tanga.
Jordan Mungire Rugimbana – Mkuu wa Mkoa Dodoma.
Said Meck Sadick – Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.
Magesa Mulongo – Mkuu wa Mkoa Mara.
Amos Gabriel Makalla – Mkuu wa Mkoa Mbeya.
John Vianey Mongella – Mkuu wa Mkoa Mwanza.
Daudi Felix Ntibenda – Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Amina Juma Masenza – Mkuu wa Mkoa wa Iringa.
Joel Nkaya Bendera – Mkuu wa Mkoa wa Manyara.
Halima Omary Dendegu – Mkuu wa Mkoa wa Mtwara.
Rehema Nchimbi – Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
Mhandisi Evarist Ndikilo – Mkuu wa Mkoa wa Pwani.
Said Thabit Mwambungu – Mkuu wa Mkoa Ruvuma.
Luteni Mstaafu Chiku Galawa – Mkuu wa Mkoa wa Songwe (Mkoa mpya).
Kwa mujibu wa Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano IKULU Gerson Msigwa, wakuu wote wa mikoa walioteuliwa wataapishwa Jumanne tarehe 15 March 2016 saa 3:30 Asubuhi Ikulu, Dar es salaam.
LINK CLASSIC: Asante
sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki
sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi
ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako
kutembelea website hii
pia waweza tupia namba yako ukawa unapata habari kupitia simu yako
bureeeeeeee...ila simu iwe smartphone
Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini
Whatsapp / Call - 0652 989 873
Karibu
sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: