sponsor

Slider

EMBROIDERY, DTF, & SCREEN PRINTING - T-shirt, Overall, Shirt , Pylon, Kofia Nk..


LARGER FORMATING

STICKERS BRANDING | LARGE FORMATING


MIFUKO PRINTING

SMALL FORMATING

WEDDING | KITCHEN PART | SEND OFF | INVITATION CARDS

POSTERS | CARTOON | PHOTO PRINTING

» » » VIJIJINI WAHITAJI ELIMU KUTAMBUA SIMU BANDIA




Wito huo umetolewa mkoani Mtwara na mkuu wa wilaya ya Mtwara, Fatma Ally, wakati wa ufunguzi wa warsha kwa wanafunzi wa sekondari na wadau wengine wa huduma zinazodhibitiwa, iliyoandaliwa na Jukwaa la watumiaji Tanzania (TCF), ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya haki za mtumiaji itakayofanyika kitaifa Machi 15 mwaka huu mkoani Mtwara.
Amesema kutokana na maeneo mengi ya vijijini kuwa na miundombinu migumu kwa kuweza kufikiwa na vyombo vya habari ambavyo vinatumika kutoa elimu hiyo, wananchi wengi wanakosa kupata elimu na itawafanya waendelee kutumia na kununua simu hizo ambazo ni bandia.
Kwa upande wake, katibu mtendaji wa baraza la ushauri kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Mhandisi Goodluck Mmari, amesema maadhimisho hayo mwaka huu yanafanyika mkoani Mtwara kwa kuzingatia sababu mbalimbali ikiwamo kuwapo kwa fursa nyingi za kiuchumi zinazotokana na uwepo wa rasilimali za Mafuta na Gesi asilia.

LINK CLASSIC:  Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website hii

pia waweza tupia namba yako ukawa unapata habari kupitia simu yako bureeeeeeee...ila simu iwe smartphone  

Pia waweza kuwasilina nasi au kutufollow hapa chini

Whatsapp / Call - 0652 989 873

INSTAGRAM   FACEBOOK    GOOGLE+    PINTEREST   TWITTER       

LINKEDIN     DRIBBBLE   YOUTUBE

Karibu sana



LINK CLASSIC


BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI

CODE HAPA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply