Rais wa Rwanda Paul Kagame amesema hatavumilia matumizi holela ya fedha za walipa kodi nchini mwake, amesema anakubaliana na hatua anazochukua rais wa Tanzania, Dkt. Magufuli.
Amesema hayo akiwahutubia viongozi nchini mwake waliohudhuria semina maalum ya kujitafakari.
Amesema hatavumilia safari zisizo na tija, na atazipunguza kwa kiasi kikubwa.
Amesema fedha za safari zinatakiwa kutumika kwa ajili matatizo ya wananchi wake.
Pia amegusia mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika Mashariki uliofanyika Arusha.
Pres.Kagame says he can't stomach excessive travel & will have the courage to cut it drastically like
Pres. Kagame says we can't afford all this travel,money needs to be solving our problems.Says he agrees with MagufuliJP cuts
Pres.Kagame touches on excessive government travel! Touches on EAC "meeting" excuses
LINK CLASSIC: Asante sana kwa kutembelea Website hii coz ni moja ya Support kwetu
mungu akubariki sana pia endelea kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna
vingi vizuri zaidi ndani ya Website hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa
na marafiki zako kutembelea website hii
pia waweza tupia namba yako
ukawa unapata habari kupitia simu yako bureeeeeeee...ila simu iwe smartphone
Pia waweza kuwasilina nasi
au kutufollow hapa chini
Whatsapp / Call - 0652 989 873
Karibu sana
LINK CLASSIC
BOFYA HAPA KU DOWNLOAD APPS YA LINK CLASSIC USOME HABARI KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI
CODE HAPA
No comments: